forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
565 B
Markdown
16 lines
565 B
Markdown
# Hauwezi kufanya mambo yote tunayofanya leo leo.
|
|
|
|
"Huwezzi kufanya kama tunavyofanya hapa leo." Hii ina maana kwamba wangeabudu katika nchi iliyoahidiwa tofauti na jinsi walivyokuwa wanaabudu wakati huo.
|
|
|
|
# sasa kila mtu anafanya chochote kilicho sahihi machoni pake mwenyewe.
|
|
|
|
Hapa "machoni" uwakilisha mawazo ya mtu au maoni.
|
|
|
|
# kwa wengine
|
|
|
|
Jina hili "kwa wengine" linaweza kutajwa kama tendo.
|
|
|
|
# kwa urithi ambao Yahwe Mungu wenu anawapa ninyi
|
|
|
|
Nchi ambayo Mungu anawapa watu wa Israeli huzungumzwa kama miliki ambayo baba huacha kama urithi kwa watoto wake.
|