sw_tn/deu/06/18.md

8 lines
258 B
Markdown

# Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
# Utafanya kilicho sawa na kizuri mbele ya Yahwe
Hii nahau ni amri na baraka. Kama wanaisraeli wanamtii Yahwe, watapokea baraka kutoka kwa Yahwe.