forked from WA-Catalog/sw_tn
537 B
537 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. Anazungumza kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "wako" ni umoja.
Lakini kutoka huko
"Lakini wakati mlipokuwa katika mataifa yale mengine"
utatafuta
Neno "u" hapa ni wingi.
wakati utakapo nitafuta
"wakati unapojaribu kumtafuta yeye" au " wakati unajaribu kumjua yeye"
kwa moyo wako na nafsi yako
Hii ni nahau "kwa ote....moyo" unamaanisha "kabisa" na pamoja na ote...nafsi" umaanisha "na utu wetu wote." Haya maneno yana maana ile ile.