forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
815 B
Markdown
32 lines
815 B
Markdown
# Majeshi yake yatainuka
|
|
|
|
"Jeshi lake litatokea" au "jeshi lake litakuja" Neno "lake" linamrejelea mfalme wa Kaskazini.
|
|
|
|
# sehemu takatifu katika ngome
|
|
|
|
"sehemu takatifu ambayo watu huitumia kama ngome"
|
|
|
|
# Wataziondoa sadaka za kawaida
|
|
|
|
Kuondolewa kwa sadaka kunawakilisha kuwazuia watu wasitoe sadaka. "Watawazuia makuhani wasitoe sadaka za kawaida za kuteketezwa"
|
|
|
|
# chukizo la uharibifu litakalosababisha ukiwa.
|
|
|
|
Hii inarejelea sanamu ambayo italifanya hekalu kuwa ukiwa, hii ina maana kwamba itamfanya Mungu aliache hekalu lake.
|
|
|
|
# walioenenda kwa ouvu kinyume na agano
|
|
|
|
"waliliasi agano kwa kutenda uovu"
|
|
|
|
# kuwatia uovu
|
|
|
|
"kuwashawishi watende dhambi"
|
|
|
|
# wale wanaomjua Mungu wao
|
|
|
|
Mahali hapa neno "kujua" lina maana ya "kuwa mwaminifu,"
|
|
|
|
# watakuwa jasiri na watachukua hatua.
|
|
|
|
"watakuwa imara na kuwapinga"
|