sw_tn/dan/11/31.md

815 B

Majeshi yake yatainuka

"Jeshi lake litatokea" au "jeshi lake litakuja" Neno "lake" linamrejelea mfalme wa Kaskazini.

sehemu takatifu katika ngome

"sehemu takatifu ambayo watu huitumia kama ngome"

Wataziondoa sadaka za kawaida

Kuondolewa kwa sadaka kunawakilisha kuwazuia watu wasitoe sadaka. "Watawazuia makuhani wasitoe sadaka za kawaida za kuteketezwa"

chukizo la uharibifu litakalosababisha ukiwa.

Hii inarejelea sanamu ambayo italifanya hekalu kuwa ukiwa, hii ina maana kwamba itamfanya Mungu aliache hekalu lake.

walioenenda kwa ouvu kinyume na agano

"waliliasi agano kwa kutenda uovu"

kuwatia uovu

"kuwashawishi watende dhambi"

wale wanaomjua Mungu wao

Mahali hapa neno "kujua" lina maana ya "kuwa mwaminifu,"

watakuwa jasiri na watachukua hatua.

"watakuwa imara na kuwapinga"