forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
414 B
Markdown
16 lines
414 B
Markdown
# ulipoiweka akili yako kutaka kufahamu
|
|
|
|
"ulihitaji kufahamu maono"
|
|
|
|
# maneno yako yalisikiwa
|
|
|
|
Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu aliyasikia maneno yako"
|
|
|
|
# Mwana wa mfalme
|
|
|
|
hii inarejelea roho ambayo ina mamlaka juu ya taifa la mtu.
|
|
|
|
# mfalme wa Uajemi
|
|
|
|
Hii huenda inarejelea wafalme mbalimbali waliotawala mataifa mbalimbali katika dola ya Uajemi, na wale waliopaswa kumtii mfalme wa Uajemi.
|