sw_tn/dan/10/12.md

414 B

ulipoiweka akili yako kutaka kufahamu

"ulihitaji kufahamu maono"

maneno yako yalisikiwa

Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu aliyasikia maneno yako"

Mwana wa mfalme

hii inarejelea roho ambayo ina mamlaka juu ya taifa la mtu.

mfalme wa Uajemi

Hii huenda inarejelea wafalme mbalimbali waliotawala mataifa mbalimbali katika dola ya Uajemi, na wale waliopaswa kumtii mfalme wa Uajemi.