sw_tn/dan/09/26.md

703 B

sitini na mbili saba

Hii si njia ya kawaida ya kuhesabu kwa Waisraeli. Kama inawezekana jaribu kuhifadhi matumizi ya namba saba.

mtiwa mafuta ataharibiwa na atakuwa hana kitu chochote

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "watu watamharibu mpakwa mafuta na hatakuwa na kitu"

mpakwa mafuta

kupaka mafuta ni tendo la ishara linaloonesha kwamba mtu fulani amechaguliwa.

kiongozi ajaye

Huyu ni mtawala wa kigeni, si "mpakwa mafuta"

Mwisho wake utatatokea kwa gharika,

Jeshi litauharibu mku na sehemu takatifu kama vila gharika linavyoharibu vitu.

Uharibifu umekwisha amriwa.

Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu amekwisha amuru kuuharibu mji na mahali patakatifu."