forked from WA-Catalog/sw_tn
703 B
703 B
sitini na mbili saba
Hii si njia ya kawaida ya kuhesabu kwa Waisraeli. Kama inawezekana jaribu kuhifadhi matumizi ya namba saba.
mtiwa mafuta ataharibiwa na atakuwa hana kitu chochote
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "watu watamharibu mpakwa mafuta na hatakuwa na kitu"
mpakwa mafuta
kupaka mafuta ni tendo la ishara linaloonesha kwamba mtu fulani amechaguliwa.
kiongozi ajaye
Huyu ni mtawala wa kigeni, si "mpakwa mafuta"
Mwisho wake utatatokea kwa gharika,
Jeshi litauharibu mku na sehemu takatifu kama vila gharika linavyoharibu vitu.
Uharibifu umekwisha amriwa.
Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu amekwisha amuru kuuharibu mji na mahali patakatifu."