forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
703 B
Markdown
24 lines
703 B
Markdown
|
# sitini na mbili saba
|
||
|
|
||
|
Hii si njia ya kawaida ya kuhesabu kwa Waisraeli. Kama inawezekana jaribu kuhifadhi matumizi ya namba saba.
|
||
|
|
||
|
# mtiwa mafuta ataharibiwa na atakuwa hana kitu chochote
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "watu watamharibu mpakwa mafuta na hatakuwa na kitu"
|
||
|
|
||
|
# mpakwa mafuta
|
||
|
|
||
|
kupaka mafuta ni tendo la ishara linaloonesha kwamba mtu fulani amechaguliwa.
|
||
|
|
||
|
# kiongozi ajaye
|
||
|
|
||
|
Huyu ni mtawala wa kigeni, si "mpakwa mafuta"
|
||
|
|
||
|
# Mwisho wake utatatokea kwa gharika,
|
||
|
|
||
|
Jeshi litauharibu mku na sehemu takatifu kama vila gharika linavyoharibu vitu.
|
||
|
|
||
|
# Uharibifu umekwisha amriwa.
|
||
|
|
||
|
Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu amekwisha amuru kuuharibu mji na mahali patakatifu."
|