sw_tn/dan/09/15.md

1.0 KiB

mkono wenye nguvu

Mahali "mkono wenye nguvu" una maana ya "nguvu"

umejifanyia jina maarufu kwa ajli yako mwenyewe, hata siku hii ya leo

"umewafanya watu kujua jinsi ulivyo mkuu, kama vile ulivyo hata leo"

Lakini bado tumekutenda dhambi; tumefanya mambo ya hila

Vishazi hivi viwili kimsingi vinamaanisha kitu kimoja na vimetumika kwa pamioja kwa ajili ya kutia mkazo juu ya dhambi ilivyo mbaya.

tumekutenda dhambi; tumefanya mambo ya hila

Danieli na Waisraeli walitenda dhambi na kufanya mambo mabaya, lakini kiwakilishi "tu"hakimjumuishi Mungu.

hasira na ghadhabu yako

Maneno " hasira na ghadhabu" yana maana moja na yametumika hapa kwa ajili ya kutia mkazo juu ya hasira ya Mungu ni ya hatari inapotenda kazi"

Mlima wako mtakatifu

Mlima huu waweza kuwa mtakatifu kwasababu Hekalu la Mungu liko pale. "Mlima ambako hekalu lako takatifu liko"

dhambi zetu....baba zetu

Mahali hapa neno "zetu" linamrejelea Danieli na Israeli, lakini si kwa Mungu.

kitu cha kudharauliwa

"lengo la kutoheshimiwa"