sw_tn/dan/09/03.md

598 B

Niliugeuza uso wangu kumwelekea Bwana Mungu

Hapa "uso" unawakilisha kusudi la Danieli. "Nililielekeza kusudi langu kwa Bwana Mungu"

kumtafuta yeye

Wale wanaotaka kumjua Yahweh na kumpendeza Yeye wanasemwa kana kwamba walikuwa wakimtafuta ili kumpata Yahweh.

kufunga, na kuvaa nguo za magunia na kukaa katika majivu.

Hizi ni ishara za matendo ya toba na huzuni

niliungama dhambi zetu

"Nilikiri dhambi zetu"

hutunza maagano na uliye mwaminifu katika kuwapenda wale wanaokupenda

"hufanya kile alichokisema angelikifanya katika agano lake na hutunza ahadi zake ili kuwapenda wale"