sw_tn/dan/09/01.md

855 B

Maelezo ya jumla

Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mtririko wa moja kwa moja. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa akali ni mfalme. Sura ya 8 imeyarudia matukio ya utawala wa Dario ambaye alikuwa mfalme katika sura ya 6.

Alikuwa na Ahasuero ambaye alifanywa mfalme juu ya ufalme wa watu wa Babeli.

Haya ni maelezo ya nyuma kumhusu Ahasuero alikuwa ni nani.

ambaye alifanywa mfalme juu ya ufalme wa watu wa Babeli.

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambaye alikuwa mfalme juu ya Wababeli" au "ambaye aliwashinda Wababeli."

juu ya ufalme

"juu ya nchi"

kungekuwa na miaka sabini hadi mwisho wa kuachwa kwa Yerusalemu ungefika.

"tangu kipindi cha kuangushwa kwa Yerusalemu, itabaki katika hali ya ukiwa kwa miaka 70"

kuachwa

Hii ina maana ya kwamba hakuna ambaye angeweza kusaidia au kuijenga tena Yerusalemu katika kipindi kile.