forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
320 B
Markdown
12 lines
320 B
Markdown
# nilichoka sana na nikalala nikiwa dhaifu kwa siku kadhaa
|
|
|
|
"alikuwa amechoka na alilala kitandani akiwa anaumwa kwa siku kadhaa"
|
|
|
|
# nikaenda kufanya kazi za mfalme
|
|
|
|
"nilifanya kazi ambazo Mfalme alikuwa amenipangia"
|
|
|
|
# nilikuwa nimetishwa sana na maono
|
|
|
|
"Nilikuwa nimeshangazwa na maono" au " nilichanganywa na maono"
|