sw_tn/dan/08/24.md

675 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari hii, malaika anamwelezea Danieli maana ya ishara ya vitu ambavyo aliviona katika maono yake. Wanyama na pembe zinawakilisha watawala wa kibinadamu au falme.

lakini si kwa nguvu zake mwenyewe

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo chanya. "lakini mtu fulani atampa nguvu zake"

Ataufanya udanganyifu usitawi

Hapa neno "udanganyifu" unaongelewa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye atafanikiwa. "kiwango cha uongo utaongezeka"

chini ya mkono wake

Hapa "mkono" unarejelea utawala wake. "chini ya utawala wake."

Mfalme wa wafalme

HIi inamrejelea Mungu

akini si kwa mkono wowote wa binadamu

Neno ''mkono'' lina maana ya nguvu/mtawala.