forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
675 B
Markdown
24 lines
675 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Katika mistari hii, malaika anamwelezea Danieli maana ya ishara ya vitu ambavyo aliviona katika maono yake. Wanyama na pembe zinawakilisha watawala wa kibinadamu au falme.
|
||
|
|
||
|
# lakini si kwa nguvu zake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo chanya. "lakini mtu fulani atampa nguvu zake"
|
||
|
|
||
|
# Ataufanya udanganyifu usitawi
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "udanganyifu" unaongelewa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye atafanikiwa. "kiwango cha uongo utaongezeka"
|
||
|
|
||
|
# chini ya mkono wake
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unarejelea utawala wake. "chini ya utawala wake."
|
||
|
|
||
|
# Mfalme wa wafalme
|
||
|
|
||
|
HIi inamrejelea Mungu
|
||
|
|
||
|
# akini si kwa mkono wowote wa binadamu
|
||
|
|
||
|
Neno ''mkono'' lina maana ya nguvu/mtawala.
|