forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
704 B
Markdown
24 lines
704 B
Markdown
# roho ya miungu watakatifu
|
|
|
|
Malkia aliamini kwamba nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo Nebukadneza aliiabudu.
|
|
|
|
# Katika siku za baba yako
|
|
|
|
"Wakati ambao baba yako alikuwa akitawala"
|
|
|
|
# mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "alikuwa na mwanga na ufahamu na hekima kama hekima ya miungu"
|
|
|
|
# Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme
|
|
|
|
"Baba yako Mfalme Nebukadneza"
|
|
|
|
# hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza.
|
|
|
|
Muundo tendaji waweza pia kutumika."huyu Danieli ambaye mfalme alimwita Belteshaza, alikuwa na sifa hizi zote."
|
|
|
|
# kile kilichoandikwa
|
|
|
|
"kile kilichokuwa kimeandikwa ukatani"
|