sw_tn/dan/05/11.md

704 B

roho ya miungu watakatifu

Malkia aliamini kwamba nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo Nebukadneza aliiabudu.

Katika siku za baba yako

"Wakati ambao baba yako alikuwa akitawala"

mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "alikuwa na mwanga na ufahamu na hekima kama hekima ya miungu"

Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme

"Baba yako Mfalme Nebukadneza"

hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza.

Muundo tendaji waweza pia kutumika."huyu Danieli ambaye mfalme alimwita Belteshaza, alikuwa na sifa hizi zote."

kile kilichoandikwa

"kile kilichokuwa kimeandikwa ukatani"