sw_tn/dan/05/08.md

12 lines
261 B
Markdown

# Belshaza
Hili lilikuwa ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada yake.
# mwonekano wa uso wake ulibadilika
Uso wa mfalme uliendelea kuonekana dhaifa na hafifu kuliko hata ulivyokuwa katika 5:5
# walishangazwa
"kuchanganyikiwa"