sw_tn/dan/05/08.md

261 B

Belshaza

Hili lilikuwa ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada yake.

mwonekano wa uso wake ulibadilika

Uso wa mfalme uliendelea kuonekana dhaifa na hafifu kuliko hata ulivyokuwa katika 5:5

walishangazwa

"kuchanganyikiwa"