sw_tn/dan/04/28.md

564 B

Maelezo ya jumla

Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza

Vitu hivi vyote...katika Babeli

Maelezo katika 4:38 yamepangwa upya ili kwamba maana yake ieleweke kwa urahisi.

miezi wa kumi na miwili

"miezi 12"

Je hii si Babeli kuu....kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?

Nebukadneza anauliza swali hili kwa kutia mkazo katika utukufu wake mwenyewe. Maneno haya yaweza kuelezwa kwa maelezo. "Hii ni Babeli kuu...kwa utukufu wa enzi yangu."

kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu

"kuwaonesha watu heshima yangu na ukuu wangu"