forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
441 B
Markdown
20 lines
441 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza
|
|
|
|
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Maneno mengi katika mistari hii inafanana sawa sawa kama 4:15
|
|
|
|
# ambalo limekufikia
|
|
|
|
"ambalo umelisikia"
|
|
|
|
# Utafukuzwa utoke miongoni mwa watu,
|
|
|
|
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu watakufukuza utoke miongoni mwao."
|
|
|
|
# Utafanywa uwe unakula majani
|
|
|
|
Hii yaweza pia kuelezwa kwa muundo tendaji. "utakula majani"
|