sw_tn/dan/04/24.md

441 B

Maelezo ya jumla

Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza

Maelezo ya jumla

Maneno mengi katika mistari hii inafanana sawa sawa kama 4:15

ambalo limekufikia

"ambalo umelisikia"

Utafukuzwa utoke miongoni mwa watu,

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu watakufukuza utoke miongoni mwao."

Utafanywa uwe unakula majani

Hii yaweza pia kuelezwa kwa muundo tendaji. "utakula majani"