sw_tn/dan/04/19.md

560 B

Maelezo ya jumla

katika mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu katitka kuelezea hukumu ya Nebukadneza.

Ndipo Danieli aliyeitwa pia Belteshaza

hii nayo yew Ambaye mimi nilimwita Belteshaza

Ufahamu wa Danieli juu ya maono ndiyo yalimwasha.

ndoto hii na iwe kwa ajili ya watu wanaokuchukia, na tafsiri yake na iwe kwa ajili ya adui zako.

ndoto hii na iwe kwa ajili ya watu wanaokuchukia, na tafsiri yake na iwe kwa ajili ya adui zako

Danieli anazungumza matakwa yake kwamba ndoto hii haimhusu mfalme, ingawa alijua kuwa ndoto ilimhusu mfalme.