forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
425 B
Markdown
12 lines
425 B
Markdown
# Nebukadneza, hatuhitaji
|
|
|
|
Katika sehemu hii watu watatu wanaongea na Mfalme bila kutumia wadhifa wake. Hii ni hali ya kuonesha dharau kwa mamlaka yao.
|
|
|
|
# Kama sivyo, na ijulikane kwako, wewe mfalme,
|
|
|
|
"Lakini mfalme unapaswa kujua kwamba hata kama Mungu wetu hatatuokoa sisi"
|
|
|
|
# sanamu ya dhahabu uliyoiweka.
|
|
|
|
Katika kirai hiki, kiwakilishi "u" hakimhusu mfalme kuiweka sanamu, bali mfalme aliamuru watu wake waisimamishe.
|