sw_tn/dan/03/16.md

425 B

Nebukadneza, hatuhitaji

Katika sehemu hii watu watatu wanaongea na Mfalme bila kutumia wadhifa wake. Hii ni hali ya kuonesha dharau kwa mamlaka yao.

Kama sivyo, na ijulikane kwako, wewe mfalme,

"Lakini mfalme unapaswa kujua kwamba hata kama Mungu wetu hatatuokoa sisi"

sanamu ya dhahabu uliyoiweka.

Katika kirai hiki, kiwakilishi "u" hakimhusu mfalme kuiweka sanamu, bali mfalme aliamuru watu wake waisimamishe.