forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
450 B
Markdown
20 lines
450 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Danieli anaendelea kuongea na Mfalme
|
|
|
|
# yule afichuaye siri
|
|
|
|
Kirai hiki kinamrejelea Mungu. "Mungu ambaye hufunua siri"
|
|
|
|
# siri hii haikufunuliwa kwangu
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu hakuifunua siri hii kwangu"
|
|
|
|
# Siri hii imefunliwa kwangu ili kwamba wewe
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji.
|
|
|
|
# Amefunua siri hii kwangu ili kwamba wewe
|
|
|
|
Kirai hiki kinatumia kiwakilishi "wewe" kumrejelea mtu katika akili.
|