sw_tn/dan/02/29.md

450 B

Maelezo ya jumla

Danieli anaendelea kuongea na Mfalme

yule afichuaye siri

Kirai hiki kinamrejelea Mungu. "Mungu ambaye hufunua siri"

siri hii haikufunuliwa kwangu

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu hakuifunua siri hii kwangu"

Siri hii imefunliwa kwangu ili kwamba wewe

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji.

Amefunua siri hii kwangu ili kwamba wewe

Kirai hiki kinatumia kiwakilishi "wewe" kumrejelea mtu katika akili.