sw_tn/dan/02/21.md

363 B

Maelezo ya jumla

Mistari hii pia ni sehemu ya sala ya Danieli.

anaondoa wafalme

"huyaondoa mamlaka ya kifalme ya kutawala"

kuweka wafalme katika viti vyao vya enzi

Kuwa katika kiti cha enzi ina maana ya kutawala ufalme. "huwafanya wafalme wapya kutawala juu ya falme zao."

naye anaishi pamoja na mwanga.

"Mwanga hutoka sehemu ambako Mungu aliko"