forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
363 B
Markdown
16 lines
363 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii pia ni sehemu ya sala ya Danieli.
|
||
|
|
||
|
# anaondoa wafalme
|
||
|
|
||
|
"huyaondoa mamlaka ya kifalme ya kutawala"
|
||
|
|
||
|
# kuweka wafalme katika viti vyao vya enzi
|
||
|
|
||
|
Kuwa katika kiti cha enzi ina maana ya kutawala ufalme. "huwafanya wafalme wapya kutawala juu ya falme zao."
|
||
|
|
||
|
# naye anaishi pamoja na mwanga.
|
||
|
|
||
|
"Mwanga hutoka sehemu ambako Mungu aliko"
|