sw_tn/col/04/12.md

612 B

Maelezo kwa Jumla:

Leodekia na Hierapoli walikwa mjini karibu na Kolosai.

Epafra

Epafra alikuwa mtu aliyehubiri injili kwa watu wa Kolosai.

mmoja wenu

"kutoka mji wenu" au "mwanamji mwenzenu"

mtumwa wa Kristo Yesu

"ni kamati ya wanafunzi wa Kristo Yesu"

wakati wote najitahidi kukuweka katika maombi

"Naomba kwa bidii kwa aljili yako"

uweze kusimama kikamilifu na uhakika

"uweze kukomaa na kuwa jasiri"

Mimi ni shahidi yake, kwamba alifanya kazi ngumu kwa ajili yenu

"Nimefanya uchunguzi kwamba alifanya kazi ngumu sana kwa ajili yenu"

Dema

Ni mtendakazi mwingine pamoja na Paulo.