forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
612 B
Markdown
32 lines
612 B
Markdown
|
# Maelezo kwa Jumla:
|
||
|
|
||
|
Leodekia na Hierapoli walikwa mjini karibu na Kolosai.
|
||
|
|
||
|
# Epafra
|
||
|
|
||
|
Epafra alikuwa mtu aliyehubiri injili kwa watu wa Kolosai.
|
||
|
|
||
|
# mmoja wenu
|
||
|
|
||
|
"kutoka mji wenu" au "mwanamji mwenzenu"
|
||
|
|
||
|
# mtumwa wa Kristo Yesu
|
||
|
|
||
|
"ni kamati ya wanafunzi wa Kristo Yesu"
|
||
|
|
||
|
# wakati wote najitahidi kukuweka katika maombi
|
||
|
|
||
|
"Naomba kwa bidii kwa aljili yako"
|
||
|
|
||
|
# uweze kusimama kikamilifu na uhakika
|
||
|
|
||
|
"uweze kukomaa na kuwa jasiri"
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni shahidi yake, kwamba alifanya kazi ngumu kwa ajili yenu
|
||
|
|
||
|
"Nimefanya uchunguzi kwamba alifanya kazi ngumu sana kwa ajili yenu"
|
||
|
|
||
|
# Dema
|
||
|
|
||
|
Ni mtendakazi mwingine pamoja na Paulo.
|