sw_tn/col/04/10.md

524 B

Aristarko

Alikuwa amefungwa pamoja na Paulo huko Efeso wakati Paulo alipoandika barua hii kwa Wakolosai.

kama akifika

"kama Marko akija"

Yesu aliyeitwa Yusto

Huyu mtu alikuwa pia mtenda kazi pamoja na Paulo.

"Hao peke yao ni watu wa tohara ni watenda kazi wenzangu katika ufalme wa Mungu.

"Hawa wanaume watatu ni Wayahudi wakristo tunaofanya kazi pamoja nami ya kumtangaza Mungu kama mfalme kupitia Kristo Yesu"

Hawa peke yao wa tohara

"Hawa wanaume Aristarko, Marko na Yusto pekee ni watu waliotahiriwa.