forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
651 B
Markdown
28 lines
651 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anendelea kuwapa maelezo waamini juu ya kuishi na kuongea.
|
|
|
|
# Maelezo kwa jumla:
|
|
|
|
Hapa neno "sisi" linarejea kwa Paulo na Timotheo ila sio Wakolosai.
|
|
|
|
# Endelea kuwa thabiti katika maombi
|
|
|
|
"endelea kuomba kwa uaminifu" au "endelea kuomba mara kwa mara"
|
|
|
|
# Mungu afungue njia
|
|
|
|
"Mungu ataandaa fursa"
|
|
|
|
# siri ya kweli ya Kristo
|
|
|
|
Hii inarejea injili ya Yesu Kristo, ambayo haikueleweka kabla ya kuja Kristo kuja.
|
|
|
|
# Kwa sababu ya lile neno , mimi nilifungwa.
|
|
|
|
Kwa kutangaza ujumbe ule wa Yesu Kristo sasa nimefungwa.
|
|
|
|
# omba ili niweze kusema kwa uwazi
|
|
|
|
"omba niwe na nguvu na uwezo wa kutoa ujumbe wa Yesu Kristo kwa uwazi"
|