sw_tn/col/03/05.md

1.4 KiB

fisheni, mambo yaliyo katika nchi

Paulo anazungumzia tamaa ya dhambi kana kwamba walikuwa sehemu ya kutumia watu kuwashuhudia.

Uchafu

"tabia zisizo safi"

shauku

"kutamani kwa nguvu"

na tamaa, ambayo ni Ibada ya sanamu

"na tamaa, ambayo ni sawa na ibada ya sanamu" au " na msiwe na tamaa kwa sababu ni sawa na kuabudu miungu"

ghadhabu ya Mungu

hasira ya Mungu kinyume na wale ambao hufanya uovu kama kuonyesha kwa kile anafanyacho kuwaadhibu.

wana wasiotii kutotii.

"mwanadamu kutotii" au "watu ambao hawamtii"

"Ni katika mambo haya kwamba ninyi pia hapo kwanza mlitembea kwayo mlipoishi nao."

"Paulo anazungumzia vile ambavyo tabia ya mtu kana kwamba ilikuwa barabara au njia anayotembelea. "Haya ni yale mliyokuwa mkiyafanya"

mlipoishi kati yao

Inaweza kuwa na maana hizi? 1) "unapokuwa umefanyia mazoezi haya mambo" au 2) "unapokuwa umeishi miongoni mwa watu ambao hawamtii Mungu"

ghadhabu, hasira

Neno "hasira" hapa linamaanisha wakati mtu anapokuwa na hasira kwa wale ambao hawamuheshimu kama kuonyesha kwa matendo yake, ambapo italeta madhara kwa watu.

nia mbaya

"tamaa ya kufanya matendo maovu"

hasira

hasira kali sana

matusi

"kururu" au "lugha chafu." Hii inarejea kwa hotuba ambayo inatumika kwa dhamira ya kuumiza wengine

hotuba ichukizayo

maneno ambayo yasioyofaa katika mazungumzo ya upole

kutoka kinywani kwenu

Hapa "kinywa" inasimama badala ya kuzungumza. "katika mazungumzo yenu"