forked from WA-Catalog/sw_tn
56 lines
1.4 KiB
Markdown
56 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# fisheni, mambo yaliyo katika nchi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia tamaa ya dhambi kana kwamba walikuwa sehemu ya kutumia watu kuwashuhudia.
|
||
|
|
||
|
# Uchafu
|
||
|
|
||
|
"tabia zisizo safi"
|
||
|
|
||
|
# shauku
|
||
|
|
||
|
"kutamani kwa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# na tamaa, ambayo ni Ibada ya sanamu
|
||
|
|
||
|
"na tamaa, ambayo ni sawa na ibada ya sanamu" au " na msiwe na tamaa kwa sababu ni sawa na kuabudu miungu"
|
||
|
|
||
|
# ghadhabu ya Mungu
|
||
|
|
||
|
hasira ya Mungu kinyume na wale ambao hufanya uovu kama kuonyesha kwa kile anafanyacho kuwaadhibu.
|
||
|
|
||
|
# wana wasiotii kutotii.
|
||
|
|
||
|
"mwanadamu kutotii" au "watu ambao hawamtii"
|
||
|
|
||
|
# "Ni katika mambo haya kwamba ninyi pia hapo kwanza mlitembea kwayo mlipoishi nao."
|
||
|
|
||
|
"Paulo anazungumzia vile ambavyo tabia ya mtu kana kwamba ilikuwa barabara au njia anayotembelea. "Haya ni yale mliyokuwa mkiyafanya"
|
||
|
|
||
|
# mlipoishi kati yao
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa na maana hizi? 1) "unapokuwa umefanyia mazoezi haya mambo" au 2) "unapokuwa umeishi miongoni mwa watu ambao hawamtii Mungu"
|
||
|
|
||
|
# ghadhabu, hasira
|
||
|
|
||
|
Neno "hasira" hapa linamaanisha wakati mtu anapokuwa na hasira kwa wale ambao hawamuheshimu kama kuonyesha kwa matendo yake, ambapo italeta madhara kwa watu.
|
||
|
|
||
|
# nia mbaya
|
||
|
|
||
|
"tamaa ya kufanya matendo maovu"
|
||
|
|
||
|
# hasira
|
||
|
|
||
|
hasira kali sana
|
||
|
|
||
|
# matusi
|
||
|
|
||
|
"kururu" au "lugha chafu." Hii inarejea kwa hotuba ambayo inatumika kwa dhamira ya kuumiza wengine
|
||
|
|
||
|
# hotuba ichukizayo
|
||
|
|
||
|
maneno ambayo yasioyofaa katika mazungumzo ya upole
|
||
|
|
||
|
# kutoka kinywani kwenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "kinywa" inasimama badala ya kuzungumza. "katika mazungumzo yenu"
|