forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1018 B
Markdown
28 lines
1018 B
Markdown
# Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Paulo anawasihi walioamini wawe makini wasigeukie maneno na taratibu za wengine kwa sababu hakuna kinachoweza kuongezeka katika ukamilifu wa Mungu walio nao walioamini katika Kristo.
|
|
|
|
# Ona kwamba
|
|
|
|
"Iweni makini kwamba" au "Angalieni kwamba"
|
|
|
|
# kuwanasa
|
|
|
|
Paulo anazungumzia vile ambavyo mtu anavyoweza kuamini mafundisho ya uongo (kwa sababu wanaamini mafundisho ya uongo au wanapenda vitu vitu vya uongo)
|
|
|
|
# falsafa
|
|
|
|
mafundisho ya kidini na imani yasiyotoka katika neno la Mungu lakini yanatokana na mawazo ya ya watu kuhusu Mungu na maisha
|
|
|
|
# maneno matupu ya udanganyifu
|
|
|
|
haya ni mawazo ya upotoshaji ambayo hayatuongozi katika maisha ndani ya Kristo. Hayazalishi chochote; ni matupu au hayana thamani.
|
|
|
|
# tamaduni za kibinadamu na juu ya mifumo ya dhambi ya dunia
|
|
|
|
tamaduni zote za Waisraeli na wapagani (watu wa Mataifa) mifumo ya imani haina maana.
|
|
|
|
# kwa kuwa katika yeye ukamilifu wote wa Mungu unaishi kwa jinsi ya mwili
|
|
|
|
"kwa sababu asili yote ya Mungu inaishi katika mwili wa Kristo"
|