forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
702 B
Markdown
24 lines
702 B
Markdown
# mwimarishwe...mjengwe...mjengwe...nyingi
|
|
|
|
Haya maneno yanaeleza inamaana gani "kutembea katika yeye."
|
|
|
|
# kwamba mlimpokea
|
|
|
|
"kwamba ninyi waamini wa Kolosai mlimpokea Kristo"
|
|
|
|
# mwimarishewe katika yeye
|
|
|
|
Paulo anamzungumzia mtu mwenye imani ya kweli katika Kristo kana kwamba huyo mtu alikuwa unaokuwa kwenye aridhi mgumu ngumu yenye mizizi mirefu.
|
|
|
|
# muimarike katika imani
|
|
|
|
"muishi maisha yenu kulingana na imani yenu katika Yesu Kristo"
|
|
|
|
# kama mlivyofundishwa
|
|
|
|
Huu ni mwanzo mzuri bila kutaja au vinginevyo kuvuta usikivu kwa mwalimu, ambaye alikuwa Epafradito. "kama mlivyojifunza" au "kama walivyokufundisha" au "kama alivyowafundisha"
|
|
|
|
# muwe na shukurani nyingi
|
|
|
|
"muwe na shukurani kwa Mungu"
|