sw_tn/col/02/06.md

702 B

mwimarishwe...mjengwe...mjengwe...nyingi

Haya maneno yanaeleza inamaana gani "kutembea katika yeye."

kwamba mlimpokea

"kwamba ninyi waamini wa Kolosai mlimpokea Kristo"

mwimarishewe katika yeye

Paulo anamzungumzia mtu mwenye imani ya kweli katika Kristo kana kwamba huyo mtu alikuwa unaokuwa kwenye aridhi mgumu ngumu yenye mizizi mirefu.

muimarike katika imani

"muishi maisha yenu kulingana na imani yenu katika Yesu Kristo"

kama mlivyofundishwa

Huu ni mwanzo mzuri bila kutaja au vinginevyo kuvuta usikivu kwa mwalimu, ambaye alikuwa Epafradito. "kama mlivyojifunza" au "kama walivyokufundisha" au "kama alivyowafundisha"

muwe na shukurani nyingi

"muwe na shukurani kwa Mungu"