sw_tn/col/01/11.md

752 B

Tunawaombea

Neno 'sisi' linaonyesha Paulo naTimotheo lakini si Wakolosai

katika uvumilivu na ustahivu

Paulo anawazungumzia waamini Wakolosai kana kwamba Mungu atawahamishia eneo la uvumilivu. Katika uhalisia, anaomba kwamba hataacha kumwamini Mungu na kwamba watakuwa wavumilivu kikamilifu kadiri waendeleavyo kumhesimu.

aliyewafanya muweze kuwa na sehemu

"amewaruhusu kuwa na sehemu"

mmestahilishwa

Hapa Paulo analenga kwa wasomaji wake kama wapokeaji wa baraka za Mungu.Hamanishi kuwa yeye mwenyewe hana ushirika katikabaraka zile.

Kwa ushirikakatika urithi

Kupokea ambacho Mungu amewaahidi waamini kinazungumziwa kana kwamba kulikuwa na kitu cha kurithi na wanafamilia kurithishwa.

Katika Mwanga

"Kaika utukufu wa uwepo wake"