sw_tn/amo/06/07.md

236 B

asema Bwana Yahwe

Mungu mwenyewe anatoa maagizo.

Nachukia boma zake

"Nawachukia watu wa Israeli kwa sababu wanaamini boma zao, sio mimi, kuwalinda wao"

boma

kuta zilizojengwa kuzunguka miji kuwalinda kutoka kwa washambuliaji