sw_tn/amo/05/12.md

227 B

kuwageuza wahitaji kwenye lango la mji

"msiwaruhusu maskini kuleta kesi zao kwa mahakimu"

kila mtu mwenye busara atanyamaza kimya

Wale ambao hawataki haki watu waovu kuwaumiza hawataongea kwa sauti juu ya matendo maovu.