sw_tn/amo/03/13.md

230 B

asemavyo Bwana Yahwe

Bwana Mungu Yahwe anazungumza.

pembe za madhabahu

Hizi zinaonekana kama pembe za ng'ombe zikitoka kutoka ambapo pande zote kuja pamoja kwa juu na zilikuwa alama kuonyesha jinsi mungu alivyokuwa hodari.