sw_tn/amo/01/05.md

591 B

kumkatilia mbali mtu

Hapa "katilia" inamaanisha aidha "kuharibu" au " kutoa."

yule mtu ashikaye fimbo ya kifalme katika Beth Edeni

Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatfsiri hii kuwa mtu mmoja aishiye katika Biqati Aveni

mtu ambaye aishiye katika Biqati Aveni.

Baadhi ya matoleo ya kisasa yametafsiri hii kumaanisha, "Watu ambao waishio katika Biqati Aveni." Matoleo ambayo yana "mtu" kawaida yanatafsiri hii maana dhahiri kumaanisha mfalme.

Biqati Aven...Beth Edeni...Kiri

jina la miji.

Edeni

tofauti na Bustani ya Edeni

yule mtu ashikaye fimbo ya kifalme

mfalme au mkuu