sw_tn/act/27/33.md

317 B

33Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza

Kulipokuwa kukipambazuka

Siku hii ni ya kumi na nne

Siku ya kumi na nne

Hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea

Hii ilikuwa ni njia ya usemi ulio maanisha kwamba hakuna harari yoyote ingewapata. "Kila mmoja atakuwa salama katika dhoruba hii."