forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
411 B
Markdown
16 lines
411 B
Markdown
# Maelezo yanayounganisha
|
|
|
|
Paulo aliendelea kutoa utetezi wake kwa Mfalme Agripa. Kwenye mistari hii aliendelea kunukuu mazungumzo yake na Bwana.
|
|
|
|
# Nilijitenga mwenyewe
|
|
|
|
"Nilitengezeza mwenyewe" au "Kuweka wakfu mwenyewe"
|
|
|
|
# kwa imani iliyo kwangu
|
|
|
|
Hii inaelezea Imani juu ya Mungu kwa waliotengwa na Mungu kwa ajili yake.
|
|
|
|
# Niliowatenga kwa ajili yangu kwa imani iliyo kwangu
|
|
|
|
Paulo alimaliza kumnukuu Bwana
|