sw_tn/act/26/15.md

411 B

Maelezo yanayounganisha

Paulo aliendelea kutoa utetezi wake kwa Mfalme Agripa. Kwenye mistari hii aliendelea kunukuu mazungumzo yake na Bwana.

Nilijitenga mwenyewe

"Nilitengezeza mwenyewe" au "Kuweka wakfu mwenyewe"

kwa imani iliyo kwangu

Hii inaelezea Imani juu ya Mungu kwa waliotengwa na Mungu kwa ajili yake.

Niliowatenga kwa ajili yangu kwa imani iliyo kwangu

Paulo alimaliza kumnukuu Bwana