forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
420 B
Markdown
16 lines
420 B
Markdown
# Wakati fulani
|
|
|
|
Paulo alitumia maneno haya kuonesha utetezzi wake mwingine. Sasa anaelezea alivyokuwa anawatesa watakatifu.
|
|
|
|
# Kinyume na jina la Yesu
|
|
|
|
neno "jina" linasimama kwa ujumbe wa Yesu. "kinyume na ujumbe wa Yesu"
|
|
|
|
# Nipe kura yangu dhidi yao
|
|
|
|
"Kupiga kura ili kuwaadhibu"
|
|
|
|
# Niliwaadhibu mara kwa mara
|
|
|
|
Inamaanisha 1)Paulo aliwaadhibu baadhi ya waamini mara nyingi au 2) Paulo aliwaadhibu waamini mbalimbali.
|