sw_tn/act/26/09.md

420 B

Wakati fulani

Paulo alitumia maneno haya kuonesha utetezzi wake mwingine. Sasa anaelezea alivyokuwa anawatesa watakatifu.

Kinyume na jina la Yesu

neno "jina" linasimama kwa ujumbe wa Yesu. "kinyume na ujumbe wa Yesu"

Nipe kura yangu dhidi yao

"Kupiga kura ili kuwaadhibu"

Niliwaadhibu mara kwa mara

Inamaanisha 1)Paulo aliwaadhibu baadhi ya waamini mara nyingi au 2) Paulo aliwaadhibu waamini mbalimbali.