forked from WA-Catalog/sw_tn
611 B
611 B
Sentensi unganishi
Paul alimaliza kumjibu Gavana Feliki kuhusu mashtaka yaliyowasilishwa dhidi yake.
wanaume hawahawa
Hii ina maana ya wajumbe wa baraza ambao walikuwepo Kaisaria katika kesi ya Paulo.
lazima waseme kosa waliloliona kwangu
"waseme iwapo kuna kitu kibaya nilikifanya na kukithibitisha"
Ni kuhusu ufufuo wa wafu
neno "ufufuo" linaweza kutumika kama "Kurudishwa katika maisha na Mungu." Na, neno "wafu" linaweza kuwa "wale waliokufa." "wakati Mungu akiwarudisha katika uhai wale wote waliokuwa wamekufa"
Ninahukumiwa leo na wewe
hii inaweza semwa kama "mnanihukumu mimi leo hii"