forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
611 B
Markdown
20 lines
611 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paul alimaliza kumjibu Gavana Feliki kuhusu mashtaka yaliyowasilishwa dhidi yake.
|
||
|
|
||
|
# wanaume hawahawa
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya wajumbe wa baraza ambao walikuwepo Kaisaria katika kesi ya Paulo.
|
||
|
|
||
|
# lazima waseme kosa waliloliona kwangu
|
||
|
|
||
|
"waseme iwapo kuna kitu kibaya nilikifanya na kukithibitisha"
|
||
|
|
||
|
# Ni kuhusu ufufuo wa wafu
|
||
|
|
||
|
neno "ufufuo" linaweza kutumika kama "Kurudishwa katika maisha na Mungu." Na, neno "wafu" linaweza kuwa "wale waliokufa." "wakati Mungu akiwarudisha katika uhai wale wote waliokuwa wamekufa"
|
||
|
|
||
|
# Ninahukumiwa leo na wewe
|
||
|
|
||
|
hii inaweza semwa kama "mnanihukumu mimi leo hii"
|